Luke 4:43-44

43 aLakini yeye akawaambia, “Imenipasa kuhubiri habari njema za Ufalme wa Mungu katika miji mingine pia, kwa maana kwa kusudi hili nilitumwa.” 44 bNaye aliendelea kuhubiri katika masinagogi ya Uyahudi.

Copyright information for SwhNEN